TMA yatangaza tahadhari

Mamlaka ya hali ya hewa iliyopo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini Tanzania imewatahadharisha wananchi kuwepo kwa hali mbaya ya hewa katika maeneo yote ya pwani kuanzia leo usiku mpaka Februari 7 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS