Rais wa FIFA atoa ahadi kwa Majaliwa Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino amemwahidi Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa kuwa FIFA itawekeza katika miradi ya maendeleo ya soka nchini. Read more about Rais wa FIFA atoa ahadi kwa Majaliwa