Mwenyekiti wa UVCCM apata ajali

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Ndugu Kheri James, amepata ajali  kwenye msafara wake Wilayani Meatu Mkoani Simiyu alipokuwa akitoka Mkoani humo kuelekea Shinyanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS