Hatimaye Yanga yapata mrithi

Baada ya Yanga kutuma barua ya kuomba kujitoa kwenye michuano ya Kombe la Kagame, hatimaye shirikisho la soka kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limekubali ombi hilo na kuipa nafasi timu ya Vipers kutoka nchini Uganda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS