Wachezaji wa Ubelgiji wakishangilia moja ya mabao yao dhidi ya Brazil
Baada ya Brazil kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Ubelgiji kwenye mechi ya robo fainali iliyomalizika usiku huu, sasa imekuwa rasmi bingwa wa mashindano atatokea Bara la Ulaya.