Dereva wa basi lililowaka moto asakwa

Basi lililoteketea moto siku ya jana maeneo ya Tegeta, Jijini Dar es salaam.

Baada ya gari la abiria linalofanya safari zake Arusha - Dar es salaam kuteketea kwa moto  maeneo ya Tegeta,  Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Marison Mwakyoma amesema bado wanamsaka dereva wa basi hilo ili kuweza kutoa maelezo ya kina juu ya ajali hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS