“Sio kila tafiti ya kupigiwa makofi”-Lema
Mbunge wa Arusha mjini (CHADEMA), Godbless Lema amefunguka kuwa sio kila tafiti zinatakiwa kupokelewa kwa furaha bila kutafakari faida na hasara zake huku akiutilia mashaka utafiti wa Taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na utafiti nchini Tanzania ya TWAWEZA.