Lugola apingwa kwenye tela, apewa ushauri

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Kangi Lugola alipokuwa kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara maarufu kama sabasaba, Jijini Dar es salaam.

Baada ya Kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Mh. Kangi Lugola kudai kuwa amedhamiria kumaliza tatizo la ajali za barabarani kwa kufunga matela kwenye pikipiki, baadhi ya wanaharakati wamepingana na wazo hilo wakidai kuwa haliwezi kuwa suluhisho kwa kuwa hao madereva wengi wana elimu ndogo -

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS