Temeke Heroes na Portland zamgusa Rais

Timu za Temeke Heroes (jezi nyeupe) na Portland (kijani) kwenye mechi yao ya robo fainali.

Ushindani uliooneshwa kwenye mechi ya robo fainali ya Sprite Bball Kings kati ya Temeke Heroes dhidi ya Portland, ulimgusa Rais wa shirikisho la mpira wa Kikapu nchini (TBF), Phares Magesa ambaye alikuwepo kwenye uwanja wa taifa wa ndani kushuhudia mechi hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS