Temeke Heroes na Portland zamgusa Rais
Ushindani uliooneshwa kwenye mechi ya robo fainali ya Sprite Bball Kings kati ya Temeke Heroes dhidi ya Portland, ulimgusa Rais wa shirikisho la mpira wa Kikapu nchini (TBF), Phares Magesa ambaye alikuwepo kwenye uwanja wa taifa wa ndani kushuhudia mechi hizo.