Mtu mwenye umri mkubwa duniani afariki

Bi. Chiyo Miyako enzi za uhai wake.

Mtu aliyethibitika kuwa na umri mkubwa zaidi duniani amefariki akiwa na umri wa miaka 117 na siku 81 kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa leo na wizara ya Afya nchini Japan.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS