Mtu mwenye umri mkubwa duniani afariki Bi. Chiyo Miyako enzi za uhai wake. Mtu aliyethibitika kuwa na umri mkubwa zaidi duniani amefariki akiwa na umri wa miaka 117 na siku 81 kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa leo na wizara ya Afya nchini Japan. Read more about Mtu mwenye umri mkubwa duniani afariki