Darassa azigomea milioni 9
Mkali wa Hip Hop Darassa, ambaye mwaka 2017 alitamba na Hit zake kadhaa ikiwemo, Kama Utanipenda, Muziki na Too Much huku hivi sasa akiwa hasikiki, meneja wa Juma Nature na msanii wa zamani Rich One amesema aliwahi kumpa dili la milioni 9 lakini akakataa.