Waziri awashika pabaya wakuu wa Mikoa

Waziri wa ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Suleiman Jaffo.

Waziri wa ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Suleiman Jaffo amezitaka Halmashauri zipatazo 14 nchini ambazo zimekusanya mapato yake chini ya asilimia 50 kujieleza kwa Waziri huyo kwa kutofikia malengo ya ukusanyaji wa mapato.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS