Jambazi Sugu lakamatwa likitorokea Uganda Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Jonathan Shana. Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limefanikiwa kumtia nguvuni mtu mmoja aitwaye Peter Thomas Nyanchiwa, anayedaiwa kuwa jambazi sugu, akiwa ameiba gari na kutaka kutoroka nalo kwenda kuliuza nchini Uganda. Read more about Jambazi Sugu lakamatwa likitorokea Uganda