Manula afunguka ubora wa Amunike na ndoto za AFCON

Kushoto ni Aishi Manula na kulia ni Emmanuel Amunike

Mlinda mlango namba moja wa Tanzania, Aishi Manula, amefunguka juu ya ubora wa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars' kwa kusema ubora wa kocha Emmanuel Amunike utaisaidia Stars kucheza fainali za AFCON 2019.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS