''Pancho alini-DM na ningejikosea sana'' - Barakah

Kushoto ni 'Producer' Pancho Latino akiwa na Baraka the Prince.

Msanii wa Bongofleva, Baraka the Prince ameshindwa kuachia ngoma zake nne alizopanga kuzitoa leo kutokana na msiba wa 'producer' Pancho Latino, ambaye amefariki jana kwenye ajali ya maji kisiwa cha Mbudya kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS