Rais Magufuli amteua Pius Msekwa

Rais Dkt. John Magufuli akiwa na spika mstaafu, Pius Msekwa.

Rais Dkt. John Magufuli amemteua spika mstaafu, Pius Msekwa kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) na Zakia Meghji kuwa Mwenyekiti wa Braza la chuo hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS