Waziri amfananisha Rais Magufuli na Mwl. Nyerere

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli.

Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga amesema namna ambavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli anavyoongea na kutenda ni sawa na Mwasisi wa  Taifa la Tanzania, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS