Waziri Mpango awapiga marufuku TRA Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amepiga marufuku Mamlaka ya Mapato nchini TRA kuwafungia wafanyabiashara, biashara zao kwasababu ya madeni ya kodi wanayodaiwa. Read more about Waziri Mpango awapiga marufuku TRA