Sababu za Rais kutopewa hela hadharani

Rais Magufuli akiwa na Waziri Mkuu wakipokea hundi ya fedha.

Huenda ukawa unajiuliza kama kuna mipaka yeyote juu ya upokeaji wa zawadi yeyote kwa watumishi wa Umma, ndiyo maana ni mara chache kuonekana hadharani wakipewa zawadi, kama pongezi binafsi au kwa majukumu aliyoyafanya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS