Ronaldo amchana Messi, amtaka abadilike Cristiano Ronaldo na Lionel Messi Nyota wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo ameibuka na kumzungumzia nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisema angependa kumuona mchezaji huyo akicheza katika ligi kuu nchini Italia 'Serie A'. Read more about Ronaldo amchana Messi, amtaka abadilike