Ronaldo amchana Messi, amtaka abadilike

Cristiano Ronaldo na Lionel Messi

Nyota wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo ameibuka na kumzungumzia nyota wa Barcelona, Lionel Messi akisema angependa kumuona mchezaji huyo akicheza katika ligi kuu nchini Italia 'Serie A'.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS