CHADEMA yatinga hadi ofisi ya Jaji Mkuu

Viongozi wa BAVICHA wakiongozwa na Mwenyekiti Patrick Ole Sosopi walipotinga ofisi ya Jaji Mkuu leo.

Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA (BAVICHA) wakiongozwa na Mwenyekiti wao Patrick Ole Sosopi, leo Desemba 12, 2018 wamewasilisha barua katika Ofisi ya Jaji Mkuu, Ibrahim Hamis Juma jijini Dar es salaam, wakilalamikia kukiukwa kwa haki kwenye mahakama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS