Disko zapigwa marufuku

Pichani, watu wakicheza muziki.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku vigodoro na disko toto katika sikukuu ya Krisimasi kwa kuwa vitendo vinavyofanyika katika shughuli hizo ni kinyume na utamaduni wa Watanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS