Nyoni ateka mazoezi Msimbazi, atoa tahadhari Erasto Nyoni Mlinzi wa klabu ya Simba, Erasto Nyoni amehudhuria mazoezi ya klabu yake jana kwa mara ya kwanza tangu alipoumia mwezi Januari mwaka huuu na kuleta ahueni ya uwezekano wa kurejea uwanjani hivi karibuni. Read more about Nyoni ateka mazoezi Msimbazi, atoa tahadhari