Mwalimu aliyeua mwanafunzi wake apandishwa kortini

Picha hii haihusiani na habari

Mahakama kuu kanda ya Bukoba, leo imeanza kusikiliza kesi ya mauaji ya kukusudia inayomkabili Herieth Jerald ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kibeta iliyoko Manispaa ya Bukoba. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS