Mwijage aeleza alivyoonekana Dodoma hadi Chato Mbunge huyo wa Muleba Kaskazini Charles Mwijage. Baada ya kuzua mjadala kupitia mitandao ya kijamii Waziri wa zamani Viwanda na Biashara Charles Mwijage amefunguka sababu ya yeye kukimbia Bungeni wakati ilipotokea sauti iliyoashiria kuwa ni ya hatari. Read more about Mwijage aeleza alivyoonekana Dodoma hadi Chato