Waziri awaumbua Ma-DC kuweka watu rumande Waziri George Mkuchika Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), George Mkuchika, amewaumbua baadhi ya wakuu wa Wilaya nchini wanaowaweka ndani watu kwa saa 48 wakati hakuna sheria inayowapa mamlaka hayo. Read more about Waziri awaumbua Ma-DC kuweka watu rumande