Waziri awaumbua Ma-DC kuweka watu rumande

Waziri George Mkuchika

Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), George Mkuchika, amewaumbua baadhi ya wakuu wa Wilaya nchini wanaowaweka ndani watu kwa saa 48 wakati hakuna sheria inayowapa mamlaka hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS