Julio ajitetea kwenye kashfa ya rushwa
Kocha wa Dodoma FC Jamhuri Kihwelo Julio amekana timu yake kuhusika na suala la kutoa rushwa ili kushinda mchezo dhidi ya Rhino Rangers ya Tabora, huku akisema hajawasiliana na Waziri Mkuu kama ilivyodaiwa na viongozi wa Rhino.

