Wafaransa wa Manchester United waweka rekodi
Klabu ya Manchester United imefanikiwa kuingia kwenye 4 bora ya ligi kuu ya England, kwa mara ya pili msimu huu, ambapo mara ya kwanza ilikuwa ni hatua za mwanzo kabisa mwa msimu, waliposhinda mabao 2-1 dhidi ya Leicester City.

