Muungano wa Chama, Tulia Ackson na Mwigulu Nchemba
Kushoto ni Tulia Ackson na kulia ni Mwigulu Nchemba
Kuelekea mchezo wa Simba leo dhidi ya Al Ahly ambao ni wa nne kwa kila timu katika kundi D ligi ya mabingwa Afrika, viongozi mbalimbali wameitakia heri Simba katika mchezo huo.