Kigwangalla ampa ofa Diatta wa Senegal
Mchezaji wa Senegal Krepin Diatta, ambaye alifunga goli la pili la Senegal kwenye mchezo wa kwanza wa AFCON dhidi ya Tanzania, amekaribishwa kuja kutalii nchini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla.