Mauaji ya watanzania 9 yaondoa mipaka Msumbiji

Siku chache baada ya Watanzania 9 kuuawa mkoani Mtwara, mpakani mwa Tanzania na Msumbiji IGP Simon Sirro na IGP wa Msumbiji Bernardino Rafael, wamekutana ili kupanga namna ya kuwanasa watuhumiwa na tukio hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS