Moto unaoteketeza Ghala la Pamba Arusha una utata

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shanna

Moto mkubwa  ambao chanzo  chake hakijajulikana,  umezuka na  kuteketeza moja kati ya maghala matatu, ya kuhifadhia pamba katika kiwanda cha Sunflag kilichopo Mkoani Arusha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS