Moto unaoteketeza Ghala la Pamba Arusha una utata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Jonathan Shanna Moto mkubwa ambao chanzo chake hakijajulikana, umezuka na kuteketeza moja kati ya maghala matatu, ya kuhifadhia pamba katika kiwanda cha Sunflag kilichopo Mkoani Arusha. Read more about Moto unaoteketeza Ghala la Pamba Arusha una utata