Rais Magufuli aagiza mabadiliko ya haraka
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli, ameagiza mchakato wa kufanya marekebisho ya sheria ya TAZARA, ili kuwezesha kila nchi kuwekeza katika shirika hilo kwa lengo la kuboresha usafirishaji wa abiria na mizigo.