Serikali yasitisha safari za Ndege Afrika Kusini

Ndege za Air Tanzania

Serikali ya Tanzania imesema kuwa,  itasitisha kwa muda safari za Ndege yake aina ya Airbus A22O - 300,  iliyokuwa inashikiliwa nchini Afrika Kusini kwa amri ya Mahakama ambapo jana iliachiwa,  kufuatia hali ya vurugu na machafuko yanayoendelea nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS