KATAVI : Kiboko azua tafrani kwa wananchi

Wakazi wa Kata za Shanwe, Mkanyagio na Misunkumilo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamelalamikia uwepo wa wanyama Waharibifu aina ya Kiboko, ambao wamekuwa wakihatarisha maisha yao na kuharibu mazao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS