Waziri awaambia ukweli wanawake wapenda sherehe

Waziri Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Ummy Mwalimu, amewataka watanzania kuhakikisha wanajiunga na Mfuko wa Bima ya afya ili kupunguza gharama za matibabu, pindi wanapopatwa na matatizo badala ya kutumia fedha hizo katika masuala yasiyokuwa na tija.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS