Kinachoendelea kambi ya timu ya taifa

Wachezaji wa timu ya taifa wakiwa kwenye mezoezi

Timu ya taifa ya Tanzania kwa wachezaji wa ndani, ambayo inajiandaa na mchezo wa kufuzu michuano ya CHAN, dhidi ya Sudan, inaendeelea na mazoezi na kocha msaidizi Suleiman Matola amesema kambi ipo katika hali nzuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS