Mambo si mepesi Kagera Sugar, Mexime akiri

Kocha wa Kagera Sugar Meck Mexime

Kocha wa timu ya Kagera Sugar Meck Mexime, amesema walikuwa na presha kubwa ya kushinda nyumbani na hali hiyo ilikuwa inafanya kila mchezo unakuwa mgumu kwao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS