Wakati Yanga wakihamishiwa Samora, Simba watamba Kocha wa Simba Sven Vandenbroeck Baada ya mechi ya Tanzania Prison dhidi ya Yanga kubadilishwa uwanja kutoka CCM Sokoine Mbeya na kupelekwa Samora Iringa, wapinzani wao Simba wameendelea kujivunia takwimu za kocha wao mpya. Read more about Wakati Yanga wakihamishiwa Samora, Simba watamba