Waziri ampa siku 7 Afisa Madini afanye haya

Waziri wa Madini Doto Biteko.

Waziri wa Madini Doto Biteko amempa siku saba Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Geita, Daniel Mapunda awe ametoa leseni za uchenjuaji zaidi ya 300 kwa wafanyabiashara wa madini ya Dhahabu mkoani Geita ambao wamekuwa wakizungushwa kuzipata.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS