'Sikijui cheo cha Job Ndugai' - Shamsa Ford

Msanii wa Filamu nchini Shamsa Ford.

Msanii wa Filamu nchini Shamsa Ford, amesema kuwa hafahamu kama Mbunge wa Kongwa, jijini Dodoma Job Ndugai, kama ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS