Kuku aliyemuuwa mtoto wa miezi 6, auwawa Wazazi wa mtoto aliyeuwawa kwa kushambuliwa na kuku Moja ya taarifa kutoka maeneo ya malava Kaunti ya Kakamega nchini Kenya zinasema Kuku aliyemuuwa mtoto wa miezi ameshambuliwa hadi kufa na wanakijiji wa eneo hilo. Read more about Kuku aliyemuuwa mtoto wa miezi 6, auwawa