Wazazi wa watoto waliolawitiwa Iringa wazungumza

Wazazi wa watoto 24 wanaodaiwa kulawitiwa na mwanaume mmoja,aliyejulikana kwa jina la Arnold Mlay, mkazi wa Semtema A, Manispaa ya Iringa, mkoani humo, wamesema mtuhumiwa huyo alikuwa akiwarubuni watoto kwa zawadi ndogo ndogo na kuwatishia kuwaua kwa yeyote atakayetoa taarifa kwa Mzazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS