'Wananchi Arusha hawatasafiri mbali' - Gambo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, amesema Serikali itaanzisha mfumo wa bima kwa wananchi mkoani humo ili wawe na uhakika na upatikanaji wa huduma za afya kwa kuchangia kiasi kidogo cha pesa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS