'Wananchi Arusha hawatasafiri mbali' - Gambo Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, amesema Serikali itaanzisha mfumo wa bima kwa wananchi mkoani humo ili wawe na uhakika na upatikanaji wa huduma za afya kwa kuchangia kiasi kidogo cha pesa. Read more about 'Wananchi Arusha hawatasafiri mbali' - Gambo