Lori lililopata ajali katika Barabara ya Mlima Kitonga kulekea mkoani Iringa.
Abiria wanaolekea Mkoa wa Iringa na baadhi ya Mikoa ya jirani wamekwama katika barabara ya Mlima Kitonga kufuatia Lori kupata ajali ya katikati ya barabara hiyo na kupelekea magari kushindwa kusafiri.