Rais JPM ampa siku 5 Kigwangalla na Katibu wake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ametoa siku 5 kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Andrea Kigwangalla na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof. Adolf Faustine Mkenda kuondoa tofauti zao vinginevyo atatengua uteuzi wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS