Rais Magufuli aomba neno Vyama vya Upinzani

M/Kiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, katika hotuba yake leo mkoani Mwanza, ametoa fursa kwa viongozi mbalimbali pamoja na wa Vyama vya Upinzani, akiwemo Freeman Mbowe na Profesa Ibrahim Lipumba, kutoa salamu kwa wakazi wa Mkoa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS