Shemeji wa Bongofleva atua Bongo kutoka Marekani Vanessa Mdee na mpenzi wake Rotimi walipotua Bongo Muda mchache uliopita msanii wa kike Vanessa Mdee, ameonekana akiwasili katika Uwanja mpya wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), akiwa na mpenzi wake Rotimi. Read more about Shemeji wa Bongofleva atua Bongo kutoka Marekani