Wanaume 4 wambaka hadi kumuua binti wa miaka 14

Picha inayoonesha vitendo vya Ukatili.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Ilala, linawashikilia watu wanne akiwemo Mponjoli Elisha (29), Fadhil Hamadi (24), Waziri Hassan (23) na Abdallah Salehe (20) wote wakazi wa Pugu Bombani kwa kosa la kumbaka binti wa miaka 14 na kumsababishia kifo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS