Marioo adai kuumizwa na Mastaa wa Bongo

Msanii wa Muziki nchini, Marioo.

Mkali wa BongoFleva hapa nchini, Marioo, amesema wasanii wachanga wasitegemee msaada kutoka kwa wasanii wakubwa, kwani mastaa hawana muda kabisa na kwamba hata yeye kabla hajatoka, aliwahi kuipitia hiyo hali ya kutaka kusaidiwa na hakupata msaada wowote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS