TRA yavunja rekodi ya makusanyo

Kamishna Mkuu wa Mamlaka hiyo Dkt. Edwin Mhede .

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa mara nyingine, imevunja rekodi kwa kukusanya jumla ya kiasi cha sh. trilioni 1.987 kwa mwezi Desemba 2019 ambayo ni rekodi ya kwanza kufikiwa tangu kuanzishwa kwake ikilinganishwa na rekodi ya mwezi Septemba, 2019 iliyokuwa sh. trilioni 1.767. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS