Kigoma: Daktari aua mpenzi wake kwa nyundo
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma linamshikilia daktari wa Chama cha Msalaba Mwekundu (Red Cross) kambi ya wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo kwa kosa kumuua mpenzi wake kwa kumpiga na nyundo kichwani kisha naye kufanya jaribio la kujiua.

