Ufahamu Mji wenye Paka wengi zaidi kuliko binadamu
Picha ya Paka.
Baada ya miezi kadhaa ya mashambulio ya mabomu kutoka kwa vikosi vya Syria na Urusi, Mji wa Kafr Nabl nchini Syria, sasa umebaki kuwa makazi ya Paka wengi, kuliko idadi ya watu iliyopo kwa sasa.